Kanali Sawala akishauriana jambo na Mhe.Diwani wa Namikupa kwenye mradi wa vyumba 2 na ofisi 1 unaoendelea eneo hilo
Ujenzi unafanyika usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati
Das Juvenile Mwambi akishiriki kushindilia kifusi katika mradi wa vyumba vya madarasa
Dc akisaidiana na mafundi kupika ugali ili mafundi waweze kuendelea na kazi
TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA
Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA
Simu: +25523 2410030
Simu:
Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz
Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa