• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Miradi ya 2022/2023

HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA KWANZA  (JULAI- SEPTEMBA) KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023.

Katika mwaka wa fedha  2022/2023 Halmashauri ya Wilaya  Tandahimba  iliidhinishiwa kukusanya,kupokea na kutumia jumla ya shilingi 9,483,673,050.00  kwa ajili ya  utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya fedha hizo Shilingi 1,344,250,000 ni fedha za ruzuku kutoka Serikali kuu,Shilingi 6,837,599,010 ni fedha za ruzuku kutoka kwa Wafadhili na Shilingi 1,301,824,040 ni fedha kutokana na  mapato ya ndani ya Halmashauri.

Hali halisi ya mapato na matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo kwa bajeti ya mwaka  2022/2023 hadi kufikia Septemba 30,2022 (Robo ya kwanza), Halmashauri ilikuwa  imepokea   jumla ya Ths. 270,405,250. kutoka katika vyanzo mbalimbali na kutumia Shilingi.26,425,250  kama inavyoonekana  katika Jedwali  Na.1 Hapo chini. Matumizi ya fedha zilizopokelewa ni kidogo kwa sababu fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi Septemba, 2022

Jedwali Na 1: Hali halisi ya Mapato na Matumizi  kwa fedha za miradi ya maendeleo kwa robo ya kwanza Julai-Septemba, 2022/2023

NA.
JINA LA MRADI
FEDHA IDHINISHWA
FEDHA TOLEWA
FEDHA TUMIKA
FEDHA BAKI
MAELEZO
1.
Mradi wa kuchochea maendeleo ya Jimbo (CDCF)
75,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
2.
Ukamilishaji wa zahanati 2
50,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
3.
Ununuzi wa vifaa tiba kwa vituo vya Afya na Zahanati
650,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
4
Ujenzi wa matundu ya vyoo 30 katika shule shikizi za msingi
33,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
5
Ujenzi wa madarasa 9 katika shule za msingi kongwe
180,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
6
Ukamilishaji wa maboma 13  shule za msingi
156,250,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
7.
Ujenzi wa nyumba za Walimu 8 shule za msingi
200,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
8
Uboreshaji wa miundombinu ya ujifunzaji na ufundishaji kwa shule za msingi ( Boost)
                1,290,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
9
Ujenzi wa miundo mbinu ya choo na mfumo wa maji katika shule za msingi (SWASH)
310,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
10.
Ujenzi wa shule  mpya ya sekondari Mahuta  na ujenzi wa nyumba 2 za walimu 2 in 1 Litehu sekondari (SEQUIP)
573,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
11
Ukamilishaji wa bweni katika shule ya sekondari Kitama
20,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
12
Ujenzi wa miundo mbinu ya choo mfumo wa maji na ukarabati wa wodi  katika zahanati (WASH)
334,000,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
13
Miradi ya  afya fedha za wafadhili
608.049,000
70,405,250
26,425,250
43,980,000
Fedha hazijapokelewa
14
Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF)
3,702,550,000
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
15
Miradi ya fedha zinazotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri
1,301,824,040
0
0
0
Fedha hazijapokelewa
16.
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 kwa shule za sekondari 3
200,000,000
200,000,000
0
200,000,000
Ujenzi upo hatua ya maandalizi
JUMLA KUU
 
9,483,673,050
270,405,250
26,425,250
243,980,000
Fedha hazijapokelewa

 

Mchanganuo wa hali halisi ya miradi inayotekelezwa kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023 umeambatanishwa na taarifa hii. Aidha kwa kipindi hiki pia Halmashauri iliendelea kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya mwaka 2021/2022.taarifa ya miradi hiyo  imeambatanishwa pamoja na taarifa hii..

 

Charles J. Mihayo

Kny: Mkurugenzi Mtendaji  (W)

TANDAHIMBA

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa