• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

Posted on: June 11th, 2025



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kuratibu ziara ya mafunzo kwa Wataalamu wa Halmashauri na Madiwani kujifunza ujuzi ambao utaleta tija kwa wananchi wake.


Mhe.Simbachawene ameyasema hayo Juni 10, 2025 mara baada ya kusalimiana nao katika ofisi ya Mkuu wa  Mkoa wa Simiyu alipokuwa katika ziara yake yake kikazi mkoani humo.


"Nikupongeze Mkurugenzi kwa kuwatoa madiwani kutoka Mtwara mpaka Simiyu kujifunza ni jambo la msingi na halina mwisho, katumieni ujuzi huu kuibadilisha Tandahimba na Mkoa wa Mtwara" Mhe.Simbachawene.


Aidha, amewasisitiza madiwani kujifunza na kukubali kubadilika kwa maslahi ya wananchi wa Tandahimba 


Ninaufahamu Mkoa wa Mtwara na Tandahimba sio masikini ina uwezo mkubwa ni wepesi wa kupokea mabadiliko, Msikilizeni Mkurugenzi atawafikisha mbali" Mhe.Simbachawene


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Kenani Kihongosi amewashukuru kwa kuona umuhimu wa kuja kujifunza katika Mkoa huo na kuwasisitiza kuutumia vyema ujuzi watakaoupata kwa manufaa ya wananchi wa Tandahimba.


Kamati ya fedha wamefanya ziara ya mafunzo  Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi na Maswa Mkoani Simiyu kujifunza kilimo cha Mkataba(Contract Farming) Uongezaji wa thamani ya mazao ya kilimo na Uendeshaji bora wa kampuni Mahususi ya Halmas

hauri (SPV).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa