• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

Posted on: June 17th, 2025


 Mkaguzi Mkazi -Mkoa wa Mtwara (CEA) Andindilile Mwabwanga ameipongeza  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa kupata hati hati safi baada ya kupitia taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Mwaka wa Fedha 2023/2024.


Mwabwanga ameyasema hayo kwenye baraza maalumu la Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mhe.Baisa Baisa amesema matokeo mazuri ya Mkaguzi na Mdhibiti wa hesabu za Serikali hayakuja tu hivihivi .


"Tandahimba kuendelea kupata hati safi mara tano mfululizo ni matokeo ya ushirikiano kati ya Madiwani, Mkurugenzi na Wataalamu wake katika kuhakikisha mambo yanaenda" Mhe.Baisa.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Michael Mntenjele akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara amewasisitiza kuyafanyia kazi mapendekezo yote yaliyotolewa na CAG ili Halmashauri hiyo iendelee kufanya vizuri.


"Maelekezo na mapendekezo yaliyotolewa hasa ya Miradi yafanyiwe kazi kwa wakati kwa siku hizi 13 zilizobaki hadi kufikia tarehe 30 Juni miradi iwe imekamilika" Kanali Mntenjele


Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba kwa kipindi cha Miaka mitatu ilipanga kukusanya kiasi cha Tsh.Bilioni 16 ambapo imekusanya kiasi cha Tshs.Bilioni 15 sawa na zaidi ya 90% ya makusanyo .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa