Madiwani wakiwa kwenye kikao
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani
Mkurugenzi Mtendaji ndugu Mussa Gama akijibu maswali ya papo kwa papo ya waheshimiwa madiwani
Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Baisa Baisa akifunga kikao hicho cha baraza la madiwani
Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wiilaya ya Tandahimba Mhe.Juma Nangololo akifafanua jambo kwa waheshimiwa madiwani
Mwenyekiti wa huduma za jamii akiwasilisha taarifa ya kamati ya Elimu ,afya na maji katika kikao cha baraza la madiwani
Mjumbe wa kamati akiwasilisha taarifa ya kamati ya fedha kwenye kikao cha baraza la madiwani
Wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa kwenye kikao cha baraza la madiwani
Wajumbe wa Vyama vya siasa wakifuatilia kikao hicho cha madiwani
TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA
Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA
Simu: +25523 2410030
Simu:
Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz
Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa