• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Zoezi la sensa ya Majaribio lakamilika Tandahimba

Posted on: September 20th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zoezi la sensa ya majaribio katika kijiji cha Bandari Kitongoji cha Ruvuma kata ya Michenjele Wilaya ya  Tandahimba  limekamilika ambapo kaya 175  na nyumba 197  zimehesabiwa

Miongoni mwa nyumba ambazo zimehesabiwa kwenye sensa ya majaribio kijiji cha bandari

Mratibu wa sensa  Wilaya ya Tandahimba ndugu Karimu Mputa amesema zoezi hilo limekamilika Septemba 19,2021 kwa ushirikiano mkubwa wa kamati ya sensa Mkoa, Wilaya na Taifa  sambamba na wananchi kutoa ushirikiano kwa makarani wachukua taarifa

Mratibu wa Sensa Wilaya ya Tandahimba ndugu Karim Mputa akielezea jambo

“Zoezi limekamilika kwa mafanikio makubwa kaya zote 175  na nyumba 197 zimehesabiwa ,wananchi wametoa ushirikiano  kwa makarani  ambao wamepita kwenye kaya zao ,tunashukuru kamati za sensa ngazi ya kata na kijiji  kwa kufanya uhamasishaji kwa wananchi ,tunaamini zoezi hili litaleta dira nzuri  kwa sensa ya mwaka 2022,”amesema Mratibu

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akiwa na baadhi  ya wakazi wa kijiji hicho

Aidha  amesema   sensa ya majaribio katika  kijiji hicho  wameweza kuhoji kaya zote,kuhesabu nyumba zote na kusajili  anwani zote za makazi kwa kutumia mfumo wa Tehama (CSEntry na Napa) kufanya kazi kwa ufasaha

Karani wa sensa akichukua taarifa kwa mkazi wa kijiji cha bandari  na kujaza moja kwa moja kwa kutumia  kishikwambi

Sensa ya majaribio katika kijiji cha Bandari ilianza Septemba 8,2021 na kukamilika Septemba 19,2021 ambayo itatoa dira kwa sensa itakayfanyika Agosti 2022

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa