• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Zaidi ya Sh.Mil 212 zatumika kuhaulishwa kwa kaya 6175 Tandahimba

Posted on: November 3rd, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kiasi cha shilingi 212,234,000 zimetumika kuhaulishwa kwa   kaya  6175 kwa wanufaika wa Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kwa vijiji 88 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Mratibu wa TASAF Tandahimba Ismaely Mbilinyi(aliyesimama) akizungumza na wanufaika wa kijiji cha Mkonjowano

Akitoa tathmini ya zoezi la uhaulishaji  ambalo limefanyika  kwa vijiji 88 Mratibu wa TASAF Wilaya ya Tandahimba ndugu Ismaely Mbilinyi amesema kuwa zoezi hilo limefanikiwa na kukakamilika kwa muda uliopangwa  kwa malipo ya mwezi Mei-Juni ,2021

Amesema shilingi 213,304,000 zilitakiwa ziwafikie walengwa 6214 kwa  vijiji 88 ambavyo vipo kwenye mpango lakini  shilingi 1,070,000 za walengwa wa kaya 39  hazikuwafikia kwasababu mbalimbali ikiwemo kuwa mbali na maeneo yao wakati wa malipo,kaya 8 walengwa wamefariki dunia  na walengwa 10 wamefuzu  katika mpango huo

Walengwa wakiwa kwenye  kituo cha malipo ambapo pia walipata huduma ya elimu na chanjo ya Uviko-19

“Tunashukuru zoezi limefanikiwa kwa kiasi kikubwa,walengwa wa kaya ambazo zina wanafunzi wahakikishe wanapatiwa mahitaji muhimu ya shule,lakini pia tunawaomba walengwa wakati wa zoezi la malipo wawepo katika vituo vyao ili walengwa wote waweze kupata malipohayo kwa wakati ,”amesema ndg Mbilinyi

Mratibu amesema miongoni mwa changamoto ambazo wamekutana nazo ni pamoja na  majina ya walengwa kutofautiana na namba zao za usajili wa vitambulisho vya Taifa(NIDA)

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa