• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wito watolewa kwa Viongozi wa Dini,Viongozi wa Kimila na Wazee Maarufu kutoa Elimu ya Kupinga Ukatili katika jamii

Posted on: November 18th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Wito umetolewa kwa viongozi wa dini ,wazee maarufu na viongozi wa Mila Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kuendelea  Elimu kwa jamii inayowazunguka ili kutokomeza vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto

Akitoa Wito huo Novemba 18,2022 katika Ukumbi wa mikutano wa Halmasahauri Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  Ndg,Robert Mwanawima amesema washiriki hao wana nafasi katika jamii inayowazunguka ili kupinga ukatili

“Vitendo vya ukatili  wa  kijinsia  katika jamii yetu upo ambapo mna nafasi kubwa ya kutoa elimu kwa jamii ili kupinga vitendo vya Ukatili wa kijinsia  kila mmoja katika nafasi yake,’amesema Ndg.Mwanawima

Naye Mratibu wa Dawati la Jinsia Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Bi.Neema Shungu akifafanua hali ya Ukatili kwa wanawake wa Tandahimba amesema wanawake wanaathirika na ukatili wa Kisaikolojia,Kihisia,kimwili,kiuchumi na kingono

Aidha naye Afisa Ustawi wa Jamii  Bi.Gift Limbanga amesema kutokana na elimu wanayotoa kuhusu haki za watoto kwa kiasi kidogo jamii imeelimika kuhusiana na  Ukatili  wa Kijinsia na Unyanyasaji wa watoto

Nao washiriki wa kikao kazi hicho kwa nyakati tofauti wamesema kuwa wataendelea kutoa elimu  kwa jamii kushirikiana na  viongozi wa vitongoji waliopo katika maeneo yao ili kuzuia vitendo vya  ukatili  wa kijinsia kwa wanawake na watoto

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa