• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

CMT TANDANDAHIMBA KAZINI UKAGUZI WA MIRADI.

Posted on: September 22nd, 2025


Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Tandahimba (CMT)  ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo  DCI.Mariam Mwanzalima imefanya ziara ya siku mbili ikitembelea na kukagua miradi ya Maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 4. 


Mkurugenzi Mtendaji DCI.Mariam Mwanzalima amewasisitiza wasimamizi wa miradi katika maeneo husika kuongeza kasi ya ujenzi iweze  kukamilika kwa wakati ili itoe huduma iliyokusudiwa kwa wananchi.


Katika ziara hiyo Menejimenti imekagua Miradi mbalimbali  inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo na kutoa maelekezo mahususi ya namna bora ya kukamilisha miradi hiyo kwa viwango vilivyowekwa.


Aidha, Miradi iliyotembelewa na CMT ni pamoja na sekta ya Elimu ikijumuisha ujenzi wa Madarasa, Nyumba za walimu na Matundu ya Vyoo, Sekta ya Afya  na sambamba na Sekta ya Mifugo .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA MADEREVA TANDANDAHIMBA September 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KUJITOLEA October 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • Soma

Habari mpya

  • CMT TANDANDAHIMBA KAZINI UKAGUZI WA MIRADI.

    September 22, 2025
  • COOP BANK TANDAHIMBA YAMTEMBELEA DED MWANZALIMA.

    September 16, 2025
  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa