• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

COOP BANK TANDAHIMBA YAMTEMBELEA DED MWANZALIMA.

Posted on: September 16th, 2025

Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) tawi la Tandahimba imemtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba DCI.Mariam Mwanzalima kwa lengo la kumpongeza na  kusherehekea pamoja katika kumbukizi ya  siku yake ya kuzaliwa ambayo ni  Septemba 15, 2025 ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake katika kuanzishwa na kuendelezwa kwa benki hiyo.


Katika mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake, uongozi wa Coop Bank ukiongozwa na Meneja wa Tawi la Tandahimba Salumu Halfani umemkabidhi zawadi maalum kama ishara ya pongezi na shukrani.


DED Mwanzalima ni  miongoni mwa waanzilishi wa Coop Bank na amekuwa  mjumbe wa bodi ya mpito tangu kuanzishwa kwake mnamo Mwaka 2024,

 nafasi iliyomuwezesha kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya benki hiyo.


Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ni mwanahisa wa Benki hiyo ya Ushirika  ambapo viongozi hao wamejadili mambo mbambali ikiwemo namna ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia mikopo nafuu kwa wakulima na Wajasiriamali wadogo, elimu ya fedha, na huduma za kisasa za kibenki.


Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji huyo ameishukuru Coop Bank kwa kutambua mchango wake na kuahidi kuendeleza ushirikiano uliopo kwa maslahi ya wananchi wa Tandahimba na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA MADEREVA TANDANDAHIMBA September 12, 2025
  • MATOKEO USAILI WA VITENDO KWA WAANDISHI WAENDESHA OFISI September 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • Soma

Habari mpya

  • COOP BANK TANDAHIMBA YAMTEMBELEA DED MWANZALIMA.

    September 16, 2025
  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa