• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

“WAZAZI NA WALEZI MSIWAACHIE WATOTO VIFAA VYA KIDIGITALI BILA UANGALIZI WA KARIBU”

Posted on: June 15th, 2023

Na. Kitengo cha Mawasiliano

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa vya kidigitali sambamba na kuwasimamia wanapovitumia ili kuwalinda na vitendo vya ukatili

Hayo yamesemwa Juni 15,2023 na Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya yaTandahimba  Ndg.Francis Mkuti  katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Kiwilaya  ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba yameadhimishwa katika Kata ya Nambahu

"Uangalizi na ukaribu wakati wa matumizi ya vifaa hivi vya kidigitali kama vile simu janja  wa kuzingatiwa ili kuwaepusha watoto na mitandao ya kijamii ambapo  imechukua nafasi ya malezi ambayo haipo kwa nia njema badala yake mtumie muda kuzungumza nao ili kuwapa elimu,tumieni kupiga namba 116 bure kutoa taarifa za ukatili wa mtoto ," amesema Ndg. Mkuti

Katika taarifa yake  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wialaya ya Tandahimba Ndg.Aloyce Massau amesema  zipo mila na mifumo inayopelekea wazazi kutengana na kusababisha watoto kukosa haki zao za msingi  na  kupelekea kuwa na wimbi kubwa la watoto wanaoishi katika maisha magumu

Jumla ya Kamati 30 za ulinzi na usalama wa  mtoto zimeundwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ili kuendelea kutoa elimu kwa ,kauli mbiu ya mwaka huu "Zingatia usalama wa mtoto katika ulimwengu wa Kidigitali"

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa