• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wauzaji wa pembejeo feki kuchukuliwa hatua kali za sheria

Posted on: May 31st, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  amesema Serikali itawachukulia hatua kali za kisheria  watakao jihusisha na uuzaji wa pembejeo feki na watakao gawa pembejeo za ruzuku kwa wasiohusika

Ameyasema hayo  leo Mei 31,2022  viwanja vya  shule ya msingi Amani katika mkutano wa hadhara ambapo ametoa utaratibu wa ugawaji wa  pembejeo za ruzuku  kwa wakulima

“Wale wanaotaka kujihusisha na uuzaji wa pembejeo feki waache mara moja,kufanya hivyo ni kosa la uhujumu uchumi na hatutakuvumilia  uhujumu uchumi wa Tandahimba  lakini pia pembejeo hizi zimetolewa kwa wakulima ambaye atatoa pembejeo hizi kwa asiyehusika naye tutamchukulia hatua,”amesema Dc Sawala  

Amesema zoezi la ugawaji wa pembejeo za ruzuku utakuwa wa wazi  ili kila mkulima ambaye anastahili aweze kupata pemjeo hizo na kusistiza kuwa kila mkulima ahakikishe shamba lake lipo safi ili pembejeo hizo zifanye kazi ipasavyokuongeza uzalishaji

Aidha amesema kuwa tayari pembejeo hizo zimeanza kuwasili katika maghala  ambapo katika mgao wa pembejeo hizo wamezingatia uzalishaji wa msimu uliopita wa mwaka 2021/2022

Katika mgao wa Jumla tutapewa tani 3769.709 za Salfa ya unga,Viuatilifu vya kudhibiti mbu wa korosho tutapewa lita 44334,Viuatilifu vya kudhibiti vidungata tutapewa lita 14777,Viuatilifu vya kudhibiti ubwili unga na braiti  tutapewa  lita 132995,viuatilifu vya kudhibiti ubwili unga pekee tutapewa lita 29555 na mabomba ya kupulizia 517 ambapo pembejeo hizo zinaendelea kuwasili katika maghala

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA,MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2021 July 14, 2021
  • Soma

Habari mpya

  • Watoto 94 wenye mahitaji maalum wapimwa afya Siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika

    June 15, 2022
  • Dc Sawala akabidhi vifaa kwa ajili ya Watoto wenye mahitaji maalum

    June 14, 2022
  • CMT wafanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi ya afya na elimu

    June 10, 2022
  • RC Gaguti akagua zoezi la ugawaji wa pembejeo za ruzuku Tandahimba

    June 09, 2022
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa