• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watumishi Halmashauri ya Tandahimba wapewa Elimu ya Kikokotoo

Posted on: August 30th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Watumishi katika Wilaya ya Tandahimba wamepewa elimu kuhusu kanuni na mfumo mpya wa kikokotoo cha mafao ya pensheni itakayotolewa kwa watumishi mara baada ya kustaafu

Akiongoza mafunzo ya Utoaji Elimu katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri Agosti 29,2022 Meneja wa kanda Ndugu.Sayi Lulyalya  amesema lengo ni kuelekeza namna ya utoaji wa mafao kwa kutumia kikokotoo kipya kulingana na kanuni mpya iliyoelekezwa na PSSSF

Amesema kanuni hiyo ilitangazwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu eProf. Jamal Katundu kufuatia maagizo ya Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mnamo Mei 14, 2022 kuhusu mapendekezo ya mafao ya wastaafu illiyoombwa na TUCTA Mei mosi, 2022.

Kanuni mpya inaongeza kiwango cha mkupuo kutoka asilimia 25 iliyolalamikiwa mwaka 2018 hadi asilimia 33 ambapo itafanya wanachama wote wa mifuko kunufaika na ongezeko hilo pia malipo ya mkupuo yatapanda kwa asilimia 81 na malipo ya pensheni yataongezeka kwa asilimia 19 ya wanachama.

Kikokotoo kipya kimetolewa kwa ajili ya kupunguza changamoto zilizokuepo katika mfumo wa awali na kuwataka washiriki kutoa mapendekezo ambayo yatasaidia kuboresha zaidi mfumo wa utoaji wa mafao kwa wastaafu.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa