• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

WATUMISHI HALMASHAURI YA TANDAHIMBA WAPATIWA ELIMU YA UWEKEZAJI NA BENKI KUU YA TANZANIA( BOT).

Posted on: February 20th, 2024

Na.Kitengo cha Mawasiliano.


Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  wamepatiwa Elimu  ya Uwekezaji kwenye Dhamana za Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ili kunufaika na Uwekezaji huo.

Elimu hiyo imetolewa leo Februari 20,2024  na Wawezeshaji kutoka  Benki Kuu ya Tanzania( BOT) kwenye ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

Akitoa elimu hiyo Mwezeshaji Ndugu.Benn Mgowole  amesema faida za kuwekeza katika Dhamana za Serikali ni Salama kwani Serikali haitarajiwi kukiuka mategemeo ya wadai wake wakati wa malipo,Dhamana za Serikali zinaweza kutolewa kama Dhamana kwa ajili ya kupata mikopo katika taasisi za fedha nchini lakini pia zina viwango  vya riba vinavyoridhisha.

Dhamana ya Serikali ni aina ya Uwekezaji unaotegemea mpango wa ndani wa ukopaji wa Serikali ambapo mwekezaji anatoa mkopo kwa Serikali kwa malipo ya kuponi iliyokubaliwa na baada ya muda wa dhamana kuisha kiasi cha awali cha uwekezaji hurudishwa kwa mwekezaji kwa asilimia 100.

Benki Kuu ya Tanzania imekuwa ikiendesha minada ya Dhamana za Serikali kulingana na Mpango  wa Ukopaji wa Serikali kutoka Masoko ya mitaji ya ndani ya nchi bila kuathiri mikopo kwa sekta binafsi.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa