• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watoto 94 wenye mahitaji maalum wapimwa afya Siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika

Posted on: June 15th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imeadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika Kiwilaya kwa kuwapima afya watoto wenye mahitaji maalum katika shule ya Msingi Mji mpya sambamba na utoaji wa elimu ya lishe kwa wapishi wa watoto hao

Zoezi la kuwapima afya watoto hao limefanyika shuleni hapo leo Juni 15,2022 ambapo watoto 94 wamepimwa malaria na kuangalia hali ya macho  kati yao watoto 32 wamebainika kuwa na malaria,watoto 13 wamebainika kuwa na tatizo la macho ambapo wote wamepatiwa matibabu

Akizungumzia tukio hilo Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Tandahimba Ndugu. Aloyce Massau  amesema kuwa hatua hiyo ya kuwapima afya imewezesha kufahamu afya zao

“Leo  katika kuadhimisha siku hii kiwilaya sisi Halmashauritumeona tuitumiesiku hii kuwapima afya watoto wetu wenye mahitaji maalum,kwasababu watoto hawa wanaishi hapa bweni kwaiyo kwa kuwapima afya tutajua maendeleo yao ya kiafya lakini pia wapishi wanapewa elimu ya kuwaandalia watoto lishe bora kwa kuzingatia makundi matano ya chakula,”amesema Ndg. Massau

Naye Afisa Elimu Maalum Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Thadei Luhumbo  amemshukuru na kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kuthamini afya za watoto hao ambao huwa wanapata changamoto mbalimbali za kiafya

Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika hufanyika Juni 16 kila mwaka  ambapo kauli mbiu ya mwaka huu 2022 ni “Tuimarishe ulinzi wa Mtoto,Tokomeza Ukatili dhidi yake,Jiandae Kuhesabiwa” 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa