• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watoto 40428 wachanjwa chanjo ya polio Tandahimba

Posted on: May 21st, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Watoto 40428 sawa na asilimia 118 wamechanjwa katika Kampeni ya Kitaifa ya siku nne ya Utoaji wa Chanjo ya Polio kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Akizungumzia Kampeni hilo Mratibu wa Chanjo Ndg.Juma Makame amesema kuwa lengo la Halmashauri ni kupata watoto 34984 kwa siku nne  ambapo kwa siku nne(4)  lengo limefikiwa 

Kampeni hiyo ilianza  Mei 18,2022 ambapo watoto waliochanjwa chanjo ya polio  siku ya kwanza  9647 sawa na asilimia 113,siku ya pili Mei 19,2022  watoto 11275 sawa na asilimia 132 ,siku ya tatu Mei 20,2022 watoto 11754 sawa na asilimia 137 na siku ya nne Mei 21,2022 watoto 7752 sawa na asilimia 90.6

“Kampeni hii tulikuwa tunapita nyumba kwa nyumba,vituo vya watoto (awali) ambapo tumeweza kufikia lengo letu , kwa siku tulitakiwa tuwe tunachanja watoto 8562 ili tuweze kufikia lengo  la watoto 34248  ambalo tumefikia na tumepita,”amesema Mratibu

Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Dkt.Grace Paul (wa kwanza upande wa kulia) akiwa pamoja na wataalamu wa afya  wakipita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya polio

Aidha wananchi kwa nyakati tofauti wameipongeza Serikali kwa hatua za haraka walizochukua  ili kuwakinga watoto  na madhara  kwa kuwapa chanjo ya polio  ya nyongeza

Katika kampeni hiyo nyumba ambazo watoto wamechanjwa chanjo ya polio  wameweka alama lakini pia  zile ambazo hazikuwa na watoto chini ya miaka mitano ziliwekwa alama pia

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA,MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2021 July 14, 2021
  • Soma

Habari mpya

  • Watoto 94 wenye mahitaji maalum wapimwa afya Siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika

    June 15, 2022
  • Dc Sawala akabidhi vifaa kwa ajili ya Watoto wenye mahitaji maalum

    June 14, 2022
  • CMT wafanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi ya afya na elimu

    June 10, 2022
  • RC Gaguti akagua zoezi la ugawaji wa pembejeo za ruzuku Tandahimba

    June 09, 2022
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa