• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watoto 11090 wachanja Chanjo ya Polio Halmashauri yaTandahimba

Posted on: September 1st, 2022

Na.Kitengo cha Mawasiliano

Watoto wenye umri  chini ya miaka mitano 11090 sawa na asilimia 109.24 wamechanja  chanjo ya Polio ya matone  ikiwa ni siku ya kwanza ya Kampeni ya Kitaifa ya Utoaji wa Chanjo ya Polio Awamu ya Tatu katika  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Akitoa takwimu hiyo Septemba 1,2022 Kaimu  Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Dk.Grace Paul amesema  wazazi na walezi wamehamasika kufika katika vituo vya kutolea  huduma ya afya na watoa huduma ya afya kutembelea nyumba  kwa nyumba kutoa chanjo  ya Polio ili kuwakinga watoto

“Tunameanza  chanjo ya polio katika maeneo yetu wazazi na walezi wanajitokeza kuchanja watoto wao lakini pia watoa huduma ya afya wanatembelea nyumba hadi nyumba zenye watoto chini ya miaka mitano kuwapa chanjo,kwaiyo tumeanza vizuri maana tumepita lengo la siku,”amesema Dk.Paul

Aidha amesema kuwa  Katika Kampeni hii Lengo  ni kuchanja watoto wasiopungua 40607 kwa siku nne  katika Halmashauri ya Tandahimba ambapo lengo la siku ni kuchanja watoto 10152

Kampeni ya Kitaifa ya Utoaji wa Chanjo ya Polio ya matone kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano inaendelea ambapo  imeanza Septemba 1,2022 na itamalizika  Septemba 4,2022  

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa