• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watoa huduma wa afya Tandahimba kupewa mafunzo ya lugha za alama

Posted on: June 1st, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Watoa huduma idara ya afya ngazi ya Hospitali ya Wilaya na vituo vya afya katika Halmashauri ya Tandahimba wanatarajia kupewa mafunzo ya lugha za alama ili kurahisisha mawasiliano wakati wa kutoa huduma za afya kwa wenye ulemavu wa kusikia(viziwi)

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndg.Said Msomoka amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia  watoa huduma kuwasiliana na viziwi wanapokuja kupata huduma

Mkurugenzi Mtendaji ndg.Said Msomoka  akielezea umuhimu wa mafunzo hayo yakavyowasaidia watoa huduma

“Mafunzo haya ambayo watapatiwa watoa huduma yatawasaidia kuwasiliana na watu wenye ulemavu wa kusikia (viziwi) pale wanapohitaji huduma  mbalimbali za kiafya katika vituo vya afya ,”amesema Msomoka

Naye Mratibu wa mradi wa kuboresha mawasiliano  wa huduma  kwa viziwi katika sekta ya afya ambao unasimamiwa na Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA)  Mtwara ndg.Kassim Mchindula amesema kuwa  mradi huo  utapunguza changamoto mbalimbali za mawasiliano kwa kundi hilo Wilayani Tandahimba

Mkalimani wa lugha za alama akiwafafanulia maelezo  kiongozi wa  chavita tawi la Tandahimba na

“Viziwi hupata changamoto ya mawasiliano wanapokwenda kupata huduma katika hospitali na vituo vya afya  hivyo mradi huu utasaidia kutoa mafunzo ili watoa huduma waweze kuwa na uelewa wa jinsi ya kuwasiliana na watu wenye ulemavu wa kusikia,”amesema ndg. Mchindula

Halmashauri ya Tandahimba ina jumla ya viziwi 3195 kwa idadi ya sensa ya mwaka 2012  ambapo mradi wa mawasiliano utawafikia

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa