• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watendaji wa kata na vijiji Halmashauri ya Tandahimba wajengewa uwezo

Posted on: January 21st, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Mussa Gama amewataka watendaji wa kata na vijiji kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake waimarishe umoja na ushirikiano ili waweze kuwahudumia wananchi katika maeneo yao

Watendaji wa kata na vijiji kwakifuatilia mafunzo

Ameyasema hayo Januari 20,2022 wakati akifungua mafunzo ya watendaji wa kata na vijiji   yenye lengo la kuwajengea uwezo ili kuweza kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi ambayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano

Mwezeshaji ndugu Raphael Mputa akiwasilisha mada kwa washiriki wa mafunzo hayo

Mkurugenzi amesema kuwa mafunzo hayo yataleta matokeo yenye tija kwa watendaji hao kutekeleza majukumu  yao kwa kuzingatia taratibu,sheria na miongozo ya utumishi wa umma katika maeneo yao ya kazi

Watendaji wa kata na vijiji wakiwa kwenye mafunzo ya kujengewa uwezo katika ukumbi wa mikutano

“Sisi wote ni timu moja ambao tunajenga Halmashauri moja umoja na ushirikiano ni msingi wa utoaji wa huduma bora katika maeneo yenu,msifanye kazi kwa mazoea ninyi ni viongozi mnatakiwa kuwa wabunifu ili kutekeleza wajibu wenu ipasavyo,msimamie utawala bora kwa kufanya  mikutano  ya katika maeneo yenu ,”amesema Mkurugenzi

Aidha amewasistiza watendaji wa kata na vijiji  kuhakikisha miradi inayotekelezwa katika maeneo yao inasimamiwa na kukamailika kwa wakati na  ubora,ameeleza kuwa kasi iliyotumika kutekeleza miradi ya Uviko iendelee kutekeleza miradi mingine inayoendelea

 

Mwezeshaji ndugu Faraji Kulodya akitoa mada ya manunuzi katika mafunzo hayo

Katika mafunzo hayo ya siku moja  watendaji wa kata na vijiji wamejengewa uwezo katika mada mbalimbali zilitolewa na wawezeshaji kutoka ngazi ya Halmashauri ya Wilaya

Mwezeshaji ndugu Zuberi Charahani  akiwasilisha mada ya mabaraza ya kata na utungaji wa sharia ndogo

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa