• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wasimamizi wa miradi watakiwa kuitunza miradi katika maeneo yao

Posted on: July 30th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba  Ally Machella  amewataka  wasismamizi wa miradi  kuisimamia na kuitunza miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao na  wananchi washirikishwe katika   miradi ili  ikamilika iweze kukamilika kwa ubora na wakati muafaka

Ameyasema hayo wakati akifungua semina ya wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu mipya ya shule kupitia programu ya Lipa Kulingana na matokeo(EP4R) iliyofanyika katika ukumbi wa  Halmashauri

Wasimamizi wa miradi  wa EP4R wakiwa kwenye mafunzo

Aidha amesema Mradi huo ambao ni zaidi ya Shilingi Bil 1 ni motisha kwa shule za msingi na sekondari  kwa kwa ajili ya miundombinu ya Vyoo,madarasa na mabweni kwa ajili ya wanafunzi

“Mnatakiwa kusimamia miradi inayotekelezwa katika maeneo yenu ili wananchi wanufaike nayo lakini pia simamieni na kuitunza iwe katika viwango bora vinavyohitajika,”amesema Machella

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ally Machela (mwenye shati la maruni) ambaye alifungua mafunzo hayo

Naye Afisa Mipango  wa Wilaya Hassan Nzyungu amesema kuwa miradi hiyo  inahitaji kufuata taratibu ,kanuni na sheria  kuanzia michoro,manunuzi,utoaji wa taarifa za utekelezaji kuanzia ngazi husika kwa muda muafaka

Afisa Mipango Hassan Nzyungu akielezea jambo kwa washiriki

Aidha naye Afisa Elimu Msingi Wilaya Hadija Mwinuka amesema kuwa pamoja na miradi hiyo kutekelezwa katika maeneo mbalimbali wananchi wanatakiwa kushiriki  kwa kujitoa ili miradi hiyo iweze kumalizika kwa asilimia 100

Afisa Elimu Msingi Hadija Mwinuka akitoa ufafanuzi kwa washiriki

“Serikali inaongeza nguvu pale ambapo wananchi wameanzisha mradi katika maeneo kama ni shule,zahanati,soko  na miradi mingine kwaiyo wananchi washirikishwe kwakuwa hii miradi ni yao,”amesema Mwinuka

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa