• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wasimamizi wa miradi ngazi ya vijiji na Kata wapewa mafunzo

Posted on: May 6th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wasimamizi wa miradi  wametakiwa  kutumia utaratibu wa ’force account’ kwa kuzingatia sheria na kanuni ili kuweza kukamilisha utekelezaji wa miradi kwa wakati

Akizungumza  kwenye kikao kazi  cha wasimamizi wa miradi ngazi ya vijiji na kata  Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya Wilaya ya Tandahimba ndugu Ally Machela  amesema kuwa katika utekelezaji na ukamilishaji kanuni na  sheria za fedha  lazima zifuatwe

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ndugu Ally Machela akitoa neno kwa wasimamizi wa miradi

“Ni utaratibu wetu kukumbushana  katika kutekeleza miradi kwenye maeneo yetu hivyo  mna jukumu la kusimamia miradi iweze  kukamilika kwa wakati na  ubora kwa kufuata utaratibu wa kutumia force account,”amesema Ndg Machela

Wasimamizi wa miradi wakifuatilia mafunzo kutokakwa mwezeshaji (hayupo pichani)

Naye   Ramadhani Mwita akiongea kwa niaba ya Afisa Mipango wa Wilaya   amesema fedha hizo zimetolewa kwa ajili ya shughuli za maendeleo kwenye idara ya  Elimu na Afya kwenda kukamilisha vyumba vya madarasa  ,mahabara  na kuweka vifaa muhimu sambamba na  kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati

Ndugu Ramadhani Mwita akizungumza na washiriki wa mafunzo  kwa niaba ya Afisa Mipango Wilaya

Aidha naye Afisa manununzi faraji Kulodya alibainisha kuwa kamati zilizopo katika maeneo husika wahakikishe shughuli za manunuzi zinazingatiwa  kwa kufuata taratibu,sheria na muongozo wa manununzi katika kutekeleza miradi hiyo

Mwezeshaji ndg . Faraji Kulodya akisistiza wasimamizi kufuatasheria ya manunuzi kwenye miradi

Katika mafunzo hayo wawezeshaji wameweza kuwasistiza wasimamizi na viongozi wa miradi kuweza   kusimamia miradi hiyo ili iweze kuwa na tija kwa wananchi,fedha hizo zimetolewa na na Serikali kuu ,mpango wa kuendeleza Elimu ya msingi (PEDEP)Mpango wa maendeleo elimu sekondari (SEDEP) na WASH

Mwezeshaji wa mafunzo ndg Kassim Lihumbo akitoa mafunzo kwa washiriki

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa