• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wasimamizi na Kamati watakiwa kuzingatia mipango kazi ya ujenzi wa miradi

Posted on: May 25th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wasimamizi  na kamati  wametakiwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa kuzingatia mipango kazi ya ujenzi wa  miradi ili ikamilike kwa wakati

Akifunga kikao kazi cha wasimamizi na kamati za kusimamia miradi inayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mkuu wa Wilaya ya  Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amewataka kutekeleza jukumu hilo kwa weledi

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  akisistiza jambo  kwa wasimamizi na kamati ya  miradi ya maendeleo(Hawapo pichani)

"Nawapongeza kwa kusimamia  miradi lakini tuongeze usimamizi  kwa kuweka maslahi ya Tandahimba yetu mbele  ili miradi hii iweze kukamilika  kwa wakati  kwa kuzingatia mipango kazi ya ujenzi wa miradi

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba amesema kuwa  kikao kazi kitaongeza ufanisi wa kusimamia miradi hiyo iweze kutekelezwa kwa wakati na ubora unaohitajika kwa kukumbushana katika mada muhimu

“Tuna kila sababu ya kuipongeza serikali ya awamu ya sita kwa jitihada inayofanya kuhakikisha  inaboresha miundombinu katika sekta  mbalimbali ikiwemo elimu na afya kwa kuongeza vituo vya afya ambapo  awali vituo vya afya vilikuwa vichache katika Halmashauri yetu jukumu kubwa ni kuisimamia ikamilike kwa wakati,”amesema Mkurugenzi


Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Mussa Gama (kati) akifungua kikao kazi cha wasimamizi na kamati za miradi ya maendeleo

Aidha ameeleza  kwa muda mfupi Serikali imeongeza vituo vya afya vitatu  katika Tarafa ya  Litehu,Mihambwe,Mambamba ambapo awamu ya kwanza  shilingi milioni 750  na tayari kiasi kingine cha shilingi milioni 750 kinaendelea kukamilisha miradi hiyo ambapo gharama ya miradi yote mitatu ya vituo vya afya ni shilingi Bil.1.5

Ongezeko la vituo vya afya  katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba litarahisisha upatikanaji wa huduma za afya karibu na wananchi, kwa sasa vituo vya afya vya serikali ambavyo vinaendelea kutoa huduma ni viwili (2) lakini miradi ambayo inaendelea na ipo katika hatua za ukamilishaji jumla ni vituo vinne(4) ambavyo ni Kituo cha afya Litehu,Mihambwe,Mambamba na Maheha  ambavyo fedha zake zimetoka Serikali Kuu na mradi mmoja(1) wa kituo cha afya kitama ambao unaendelea kutekelezwa kwa gharama ya shilingi Milioni 400 kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa