• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Washiriki wa mafunzo ya TASAF Tandahimba waaswa

Posted on: February 24th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Washiriki wa mafunzo ya utekelezaji na usimamizi wa miradi ya kutoa ajira ya muda kwa walengwa chini ya mpango  wa kunusuru kaya maskini  wa mfuko wa maendeleo  ya jamii (TASAF)wametakiwa kuibua miradi yenye tija na inayotekelezeka  kwa wananchi wa maeneo husika

Mwezeshaji wa TASAF  Amadeus Mbuta akitoa mafunzo kwa washiriki katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri

Hayo yamesemwa na Afisa Mazingira wa Tasaf  Amadeus Mbuta  wakati akitoa mafunzo kwa washiriki 45 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri na kusistiza kuwa miradi  inategemea washiriki hao  kuibua katika maeneo husika ambayo itawanufaisha jamii

Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo

“Naamini baada ya mafunzo yanawapa  uwezo wa kwenda kuibua miradi yenye tija na inayotekelezeka katika maeneo ambayo  mtapangiwa ,”amesema ndugu Mbuta

Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo

Naye Mratibu wa TASAF Tandahimba Ismaely  Mbilinyi amesema mafunzo yaliyotolewa na wawezeshaji wa Kitaifa yameongeza  ari kwa washiriki kuibua miradi inayotekelezeka katika maeneo husika kwa kuzingatia kanuni na miongozo ya TASAF

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Tandahimba Ismaely  Mbilinyi  akitoa neno kwa washiriki

Aidha  wawezeshaji wa mafunzo hayo ya siku sita wamefundisha mada mbalimbali ambazo  zimejenga uwezo kwa washiriki kuwa na uwezo wa kutekeleza jukumu la uibuaji wa miradi katika maeneo watakayopangiwa

Mwezeshaji Godius Johnas akitoa mafunzo kwa washiriki jinsi ya kuandaa mradi wa tengamaji

Naye mshiriki wa mafunzo Neema Shungu amesema kuwa mafunzo hayo yameongeza uelewa katika kutekeleza miradi ya TASAF na kuwaomba washiriki wengine kuzingatia ili yaweze kuleta manufaa kwa jamii na wananchi wa Tandahamba

Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya  utekelezaji na usimamizi wa ajira za miradi ya kutoa ajira ya muda kwa walengwa

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa