• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Washiriki 652 wapewa mafunzo ya kuingiza taarifa za anwani za makazi kwenye mfumo

Posted on: March 15th, 2022

Na Kitengo Habari na Mawasiliano 

Washiriki 652 wamepewa mafunzo ya kuingiza taarifa kwenye mfumo katika  operesheni ya anwani za makazi  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

Washiriki wa kuingiza taarifa kwenye mfumo wakipewa mafunzo

Akitoa mafunzo  kwa washiriki katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri Afisa Tehama Wilaya ya Tandahimba ndugu Joseph Mongi amesewataka vijana hao kuhakikisha wanaifanya kazi hiyo kwa umakini ili kuingiza  taarifa sahihi

“Hakikisheni kuwa mtakapoanza kuingiza  taarifa hizi muwe makini sana ili kuingiza taarifa sahihi ambazo zitatusaidia katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo katika Wilaya  yetu,”amesema ndugu Mongi

Aidha amesema kuwa  vijana hao wametoka katika vitongoji ambavyo wanaishi hivyo watakuwa  na uelewa mzuri wa maeneo yao kwakuwa wanaishi kila siku

“Mmeaminiwa na viongozi wa vitongoji vyenu naamini mtapata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa jamii mnazotoka mkaingize  takwimu sahihi ambazo zitasaidia katika kitongoji ,kijiji,kata na Wilaya kwa Ujumla,”amesema ndugu Mongi

Mwezeshaji ndugu Zuberi Sarahani akifafanua jambo kwa washiriki

Washiriki hao wamepatikana kutoka katika kila kitongoji  ambapo wataingiza taarifa za anwani za makazi katika vitongoji vyao

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa