• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi waendelea kujitokeza kupata Elimu na chanjo ya UVIKO-19

Posted on: October 4th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Zoezi la Kampeni maalum ya utoaji wa Elimu na chanjo ya UVIKO -19Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  linaendelea vizuri ambapo wananchi wanaendelea kupata elimu na kuchukua hatua ya kuchanja kwa hiyari katika maeneo yao

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba  Mhe.Kanali Patrick Sawala akizungumza na wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala katika ziara ya kujitambulisha kwa wananchi na kusikiliza kero zao anatumia nafasi hiyo  kutoa elimu ya chanjo  ya UVIKO -19 kwa wananchi

Watoa huduma za afya  wakiwa kwenye  kikao kazi  

Dc Sawala amesema ili  wananchi wapate  elimu  hiyo anaambatana na watoa huduma ya afya ili  kusogeza huduma   kwa wananchi wa vijijini  ambao baada ya kusikia elimu watakuwa tayari kupata huduma hiyo

Mtoa huduma ya afya akitoa elimu ya UVIKO -19 kwa mwananchi wa kijiji cha Dinyeke

“Katika ziara hizi ambazo nazifanya nimeona niwe naambatana na watoa huduma wa afya vijijini ili watoe elimu na chanjo kwa atakaye hitaji,kwa baadhi ya vijiji ambavyo nimefanya hivyo wananchi wamechanja kwa hiyari,”amesema Dc Sawala

Watoa huduma wa afya wakitoa elimu  na chanjo ya UVIKO -19 katika viwanja vya shule ya msingi Amani kwenye bonanza lililoandaliwa na Benki ya NMB

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba inaendelea na kampeni ya utoaji Elimu na chanjo ya UVIKO - 19 ambayo imeanza rasmi tarehe 1/10  hadi 15/10 mwaka huu ambapo elimu hiyo inatolewa  katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa