• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi wa kijiji cha bandari Wilaya ya Tandahimba washiriki sensa ya Majaribio

Posted on: September 16th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba  ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya sensa Wilaya  Mhe.Kanali Patrick Sawala  amesema kuwa sensa ya majaribio ambayo inafanyika  katika kijiji cha bandari kitongoji cha Ruvuma kata ya Michenjele inaendelea vizuri kwakuwa wananchi wametoa ushirikiano  kwa makarani wanaochukua taarifa

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akieleza jambo

Ameyasema hayo  katika kijiji cha bandari  ambapo zoezi hilo  la sensa ya watu linafanyika na kueleza kuwa sensa hiyo ya majaribio itatoa dira  katika sensa ya mwaka 2022

 

Kamati ya sensa Wilaya ,Mkoa na wasimamizi wa sensa ngazi ya Taifa wakiwa kwenye picha ya pamoja

“Kamati ya sensa Wilaya na Mkoa tupo hapa kuhakikisha zoezi hili linafanikiwa kwa asilimia mia moja,makarani wamepita kaya hadi kaya na sasa wanaendelea  na dodoso la majengo ambapo majengo yatahesabiwa , naendelea kuwasistiza wananchi kutoa taarifa sahihi  kwa maendeleo ya nchi na Wilaya kwa ujumla,”amesema Dc Sawala

Naye Msimamizi wa sensa kanda ya kusini Ephraim Kwesigabo amesema zoezi hilo linafanyika kwa ushirikiano mkubwa wa Wilaya na Mkoa hivyo changamoto ambazo zitapatikana katika zoezi hilo la majaribio zitasaidia kuboresha mfumo  wa sensa mwaka 2022

Msimamizi wa sensa kanda ya kusini Ephraim Kwesigabo akiwashukuru kamati kwa ushirikiano

Amesema  sensa ya majaribio imeongeza  madodoso ili kupata taarifa  ambazo zitasaidia kujua kila kitu katika eneo husika ambapo kuna dodoso  la kijamii,dodoso la hesabu ya watu ambalo lina maswali 97,dodoso la majengo na dodoso la anwani

baadhi ya majengo ambayo pia yatahesabiwa kwenye sensa ya majengo kijiji cha bandari

Nao wananchi wa  kijiji cha bandari   kwa nyakati tofauti  wameishukuru serikali  kwa zoezi hilo  ambalo litasaidia kuleta maendeleo katika maeneo husika,Mkoa wa Mtwara umekuwa miongoni mwa Mikoa 13 ambayo inafanya sensa ya majaribio ambapo Wilaya ya Tandahimba ni Wilaya pekee ndani ya Mkoa  inafanya zoezi hilo

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa