• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi Tandahimba waipongeza Serikali kuleta awamu ya pili daftari la kudumu

Posted on: May 5th, 2020

Na  Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wananchi wa Wilaya yaTandahimba wameipongeza serikali  kuleta  daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili kwakuwa imewasaidia kuboresha taarifa zao  na ambao hawakupata nafasi ya kujiandikisha wamefanikisha zoezi hilo

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye vituo vya kujiandikishia wananchi hao wamesema wameridhishwa na zoezi hilo kwakuwa wamepata fursa ya kuwafuta ndugu na jamaa ambao wamefariki dunia na kuboresha taarifa zao

Wananchi wakiwa kwenye foleni  ya kuboresha taarifa zao kwenye daftari ya kudumu

“Tunaishukuru  Serikali  kwa zoezi hili  mimi nilikuwa Mkoa mwingine lakini kwa sasa nimehamia hapa  nyumbani kwaiyo   nimekuja kuboresha taarifa zangu   kwa sasa nitapiga kura katika kata ya Ngunja,”amesema  Twaha saidi


Mkazi wa Kata ya Ngunja akichukuliwa alama za Vidole na Bvr operator(kushoto) ni Maafisa Tehama wakiangalia zoezi linavyokwenda

Naye mkazi wa Mkwiti  Kwenadi Masuka amesema  pamoja na uwendeshaji wa zoezi hilo anaishukuru Wilaya imezingatia  tahadhari dhidi ya  ugonjwa wa Covid – 19  katika vituo  hivyo zoezi hilo kuendeshwa kwa amani

“Utaratibu ambao wameuweka ni mzuri wa  kujikinga na ugonjwa huu wa korona kwakuwa watu ambao tumekuja kituoni tunaambiwa  na mtu  maalum ambaye anatusistiza kukaa mbali  kati ya mtu na mtu pia kunawa mikono na maji tiririka na sabuni,”amesema Masuka


Mwananchi akinawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kwenye kituo cha Kata ya Mkwiti kabla ya kupata huduma

Zoezi la uboreshaji awamu ya pili umekamilika  ulianza Mei 02 na kumalizika Mei 04 mwaka huu kwa Kata zote za Tandahimba na wananchi wamejitokeza kupata huduma katika maeneo yao

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa