• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi Tandahimba waipongeza Serikali kuendelea kutoa elimu ya afya Vijijini

Posted on: August 18th, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wananchi Wilaya ya Tandahimba wameipongeza Serikali kwa jitihada wanazozifanya kwa kutoa Elimu ya afya ya kujinga na magonjwa yanayoambukiza katika jamii hususan vijijini

Mwezeshaji akigawa na kubandika majarida  yanayohamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari

Wakizungumza kwa nyakati tofauti  wananchi hao wameonekana kuridhishwa na mwenendo mzima wa serikali  ya awamu ya tano kwa kutoa elimu ya afya kuanzia ngazi za vijiji   na jinsi ilivyofanikiwa mapambano ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona(Covid -19)

Wakazi wa kijiji cha Maundo sokoni wakisikiliza matangazo kwa njia ya magari yanayohamasisha umuhimu wa kuendelea kuchukua tahadhari

Bakari  Said mkazi wa kijiji cha Namahonga  Kata ya  Maundo amesema kuwa  ingawa ugonjwa huu hapa nchini umepungua  lakini matangazo na majarida yanasaidia kukumbusha  jamii kuendelea kuchukua tahadhari

Bashiru Likoti mkazi wa minjenjele akionesha bango ambalo lina maelekezo ya kuchukua tahadhari

“Tunampongeza Rais wetu wa awamu ya Tano kwa  jinsi ambavyo ametuondolea hofu na jitihada alizozifanya  ya kupambana na  ugonjwa huu, elimu  iendelee kutolewa ili wananchi waendelee kuchukua tahadhari kwa kugawa mabango na vipeperushi,”amesema Said

Mwezeshaji Kulwa Samiji akitoa elimu  kwenye kijiwe cha kahawa Kitama stand

Zoezi la utoaji wa Elimu  ya afya  kwa jamii linaratibiwa na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto,OR-TAMISEMI  kwa ushirikiano na Redcross Tanzania ambapo Kata 30  na vijiji vyake Halmashauri ya Tandahimba  vimefikiwa  na kupata elimu kwa njia ya matangazo na majarida 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa