• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wanafunzi 80 wa Umitashumta kushiriki mashindano ngazi ya Mkoa

Posted on: July 9th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba  imepata washiriki 80 katika fainali ya  mashindano ya  umitashumta  kati ya washiriki 391 ambao watashiriki katika mashindano ngazi ya Mkoa

Timu ya mpira wa pete ikiwa inaendelea na mechi

Mashindano hayo yamefanyika  Julai 9,2022 katika viwanja vya shule ya msingi Amani kata ya Tandahimba ambapo klasta sita  ziliweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya fainali hiyo

Katika mashindano hayo michezo mbalimbali ilishindaniwa kama vile mpira wa mguu,mpira wa mkono,mpira wa kikapu,mpira wa pete,riadha,kuruka chini,kuruka juu, na kwaya ambapo mshindi wa jumla  kwa michezo yote ni Klasta ya Mihambwe

Klasta ya mihambwe wakikabidhiwa kombe la msindi wa Jumla

Akifunga mashindano hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji,Afisa Taaluma Msingi ndg.Abdul Masudi amewataka washiriki hao kuongeza juhudi ili waweze kufikia lengo la kuwa washindi kuanzia ngazi ya Mkoa hadi Taifa

Aidha naye  Mratibu Michezo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ndg.Omary Amlima  amesema katika mashindano hayo washiriki 391walikaa kambi ambapo wavulana 186 na Wasichana 205

Amesema kuwa washiriki hao wanatarajiwa  kuelekea katika mashindano ya Kimkoa na baadaye Kitaifa ambapo mwaka huu mashindano ya Umitashumta yatafanyika Mkoani Tabora

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • ZIARA YA MAFUNZO KWA MADIWANI WA KAMATI YA FEDHA WILAYA YA TANDAHIMBA WAKIWA MKOANI SIMIYU NA MATARAJIO YAO KWA WANANCHI

    June 10, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 10, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa