• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

WALIMU TANDAHIMBA WAPONGEZWA KWA KUONGEZA UFAULU WA DARASA LA SABA MWAKA 2023.

Posted on: February 22nd, 2024

Na Kitengo cha Mawasiliano 


Walimu wa  shule za Msingi za Serikali  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wamepongezwa kwa kuongeza ufaulu kwenye matokeo  ya  Mtihani wa Taifa wa darasa la saba Mwaka 2023.

Hafla ya  kuwapongeza walimu imeandaliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kupitia  Idara ya Elimu Msingi ambapo katika Klasta tano zilizopo Halmashauri ya Tandahimba kila klasta imefanya hafla hiyo  katika eneo  lake.

Aidha  Mkuu wa Idara ya Elimu Awali na Msingi Mwl.Samweli Mshana amesema walimu kwa juhudi wamechangia kuongeza ufaulu wa darasa la saba na kufikia asilimia 85.2 mwaka 2023 na kushika nafasi  ya 3 Kimkoa kati ya Halmashauri tisa  kwa upande wa Mtihani wa Upimaji wa darasa la nne Mwaka 2023 Halmashauri ya  Tandahimba imeshika nafasi ya kwanza Kimkoa kwa kupata asilimia 93 kati ya Halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Ndg.Francis Mkuti akizungumza kwenye hafla ya Klasta ya Matogoro Februari 22,2024  amewapongeza Walimu kwa juhudi zao na amewasistiza kuongeza juhudi hizo ili  ufaulu uongezeke zaidi mwaka 2024.

Naye Mkuu wa Idara ya Rasilimaliwatu na Utawala Ndugu.Joshua Mgoli amewapongeza walimu  lakini pia ametumia nafasi hiyo kuwakumbisha kuzingatia taratibu za uhamisho mara wanapojitaji kuhama ili kuepuka  uhamisho feki ambao ni kosa kisheria.

Katika hafla ya Klasta ya Matogoro na Klasta ya Mihambwe zilihitimishwa kwa kukabidhi zawadi mbalimbali  vikiwemo vyeti vya pongezi na fedha taslimu kwa walimu waliofanya vizuri katika masomo yao wanayoyafundisha .


Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa