• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wakuu wa Idara na Vitengo watembelea miradi ya Maendeleo

Posted on: July 1st, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Tandahimba wametembelea  miradi  inayotekelezwa na Halmashauri yenye thamani  zaidi ya milioni 566 ambazo zimetokana na fedha za mapato ya  ndani ,Serikali kuu na Tea kwa mwaka 2019/2020 ili kuweza kujionea hatua mbalimbali ya miradi hiyo ilipofikia

Katika Ziara hiyo miradi zaidi ya 42 kati ya miradi 72  inayotekelezwa imeweza kufikiwa na wakuu wa idara na vitengo

Kaimu Mkurugenzi Ally Machela akitoa maelekezo

Baadhi ya miradi  iliyofikia hatua  ya kumalizika ni pamoja na  vyumba vya madarasa ,baadhi ya matundu ya vyoo, Zahanati  na miradi mingine ipo katika hatua ya mwisho huku mingine ikiendelea katika hatua mbalimbali

Zahanati ya Mambamba ipo katika hatua za mwisho

Akizungumza mara baada ya kumaliza kutembelea kata 17 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Ally Machela amesema hiyo ni awamu ya kwanza ,awamu ya pili watatembelea miradi iliyobaki ili kila mmoja awe anaijua miradi yote iliyopo 

Wakuu wa Idara na vitengo walitembelea Ujenzi wa chumba cha darasa shule ya Sekondari Luagala

“Lengo la kutembelea miradi hii kwa wakuu wa Idara mbalimbali na vitengo ndani ya Halmashauri yetu  ni kujionea kwa macho hatua  iliyopo na kuifahamu miradi hii na kubaini changamoto  zilizopo kwenye miradi hii badala ya kuwaachia wakuu wa idara husika,”amesema Machela

Wakuu wa Idara  na vitengo walitembelea mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa shule ya Msingi Mkula 

Naye Mkurugenzi wa Mji mdogo Mahuta Rajabu Lwazi  ambaye ni miongoni mwa waliotembelea miradi hiyo amekiri kuwa katika ziara hiyo ameweza kuifahamu miradi mingi ambayo inatekelezwa na Halmashauri

Ujenzi wa matundu ya vyoo Shule Msingi Mkulung`ulu

“Hii ziara imetusaidia sana kuifahamu miradi inayotekelezwa na Halmashauri yetu maana tangu niwe hapa sijawahi kutembelea miradi mingi kama hivi na imenisaidia kuijua na kutoa ushauri pale ambapo tunaona panahitaji ushauri,”amesema Lwazi

Wakuu wa Idara na Vitengo wakimsikiliza Afisa mtendaji akisoma taarifa ya mradi waujenzi wa  nyumba ya mwalimu  kijiji  cha Namkomolela

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa