• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Waheshimiwa Madiwani na wataalamu wa Halmashauri ya Tandahimba wafanya ziara ya kujifunza Jiji la Mbeya

Posted on: March 21st, 2023

Waheshimiwa Madiwani

Na Kitengo cha Mawasiliano

Waheshimwa Madiwani na baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wamefanya ziara ya siku Mbili Halmshauri ya  Jiji la Mbeya ili kujifunza Uanzishaji na Uendeshaji wa Shule za Msingi za lugha ya kiingereza(English Medium) zinazomilikiwa na Halmashauli,Usimamizi na Uhifadhi wa taka ngumu na usafi wa mazingira na namna ya ukusanyaji wa mapato ya ushuru wa huduma

Baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba walioambatana na Waheshimiwa madiwani katika ziara

Ziara hiyo ya siku mbili imeanza Februari 21,2023 ambapo Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya  aliwasilisha taarifa ya uanzishaji na ubunifu wa shule hizo na jinsi zinavyoongeza mapato ya Halmashauri ya Jiji hilo

Aidha amesema kuwa mbali na Halmashauri kupata mapato lakini pia wanatoa huduma kwa wananchi wenye kipato cha kawaida kuweza kuwasomesha watoto wao kwa gharama nafuu

Naye Mkuu wa kitengo cha Udhibiti wa Taka ngumu wa Jiji la Mbeya akisoma taarafa yake jinsi walivyofanikiwa amebainisha  kwamba jukumu hilo limekasimishwa ngazi ya kata ambapo njia hiyo imefanikiwa kuweka mazingira katika hali ya usafi

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa