• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wafugaji marufuku kuingia kwenye vijiji bila kibali Tandahimba-DC

Posted on: October 1st, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amepiga marufuku kwa wafugaji kuingia katika Wilaya ya Tandahimba bila kufuata taratibu  na sheria  ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima katika jamii iliyopo eneo husika

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akieleza jambo  kwa wananchi wa kijiji cha Dinyeke

Ameyasema hayo kwenye ziara yake ya kujitambulisha na kusikiliza kero za wananchi wa kijiji cha Chikongo na Dinyeke kata ya Mkoreha ambapo amesema ili wafugaji wapewe eneo lazima wafuate taratibu kama hakuna taratibu ambazo zimefuatwa katika eneo husika wanapaswa kuondolewa haraka

Wananchi wa kijiji cha Chikongo wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba(hayupo pichani)

“Mifugo tunaipenda lakini lazima utaratibu ufuatwe na wananchi waambiwe katika kijiji husika,lakini kama mfugaji hajafuata taratibu na kibali hana lazima aondoke ili kuepusha migogoro katika jamii ambayo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani katika eneo husika hilo halikubaliki na hatua kali za kisheria tutachukua,”amesema Dc Sawala

Wataalamu wakifuatilia  maswali ya wananchi kuhusu masuala mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi wa Dinyeke

Aidha akiwa katika vijiji hivyo amezungumzia  masuala mbalimbali ikiwemo Elimu,Afya,maji,umeme,kilimo na ushirika,barabara,ulinzi na usalama na ushiriki wa wananchi katika  miradi ya maendeleo pia amesistiza wananchi  katika msimu huu ulioanza wahakikishe wanauza korosho zao kwenye vyama vyao vya msingi ili waweze kupata fedha zitakazoongeza maendeleo ya kijiji chao

Wananchi walitoa kero zao kuwa  ni pamoja na upungufu wa walimu,mifugo,maji,umeme,barabara,zahanati ambapo majibu ya kero zao zilijibiwa na wataalam walioambatana na Mkuu wa Wilaya katika ziara yake  

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa