• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

WADAU WA MAENDELEO NA WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUTOA MAONI YENYE TIJA KATIKA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050.

Posted on: July 22nd, 2024


Na.Kitengo cha Mawasiliano 

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Michael Mntenjele amewasisitiza wadau wa Maendeleo na Wananchi kujikita katika kutoa maoni yenye manufaa kuhusu Mwelekeo wa maendeleo wanayotaka kuyafikia ifikapo 2050.

"Suala hili ni la Kitaifa hivyo kila Mwananchi anatakiwa kufikiria na kutoa Maoni kwamba kwa miaka 25 ijayo ataitaka Tanzania kuwa ya namna gani katika Nyanja za kiuchumi na kijamii" Kanali.Mntenjele

Baadhi ya wadau wametoa maoni yao ikiwemo Suala la Upatikanaji wa Huduma ya Maji Vijijini ifikie 100 % ifikapo 2050 kutoka 85 % iliyokuwepo, huku wakidai Gharama za Umeme zipunguzwe ili Wananchi waweze kumudu Gharama na kuwezesha nishati ya Umeme kupatikana Katika maeneo yote Nchini ifikapo 2050.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliandaa na kuridhia kutumika kwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 inayofikia ukomo Mnamo Juni 2026 na utekelezaji wake umewezesha Nchi kupata Mafanikio Mbalimbali ya kiuchumi na kijamii ikiwemo Nchi kuingia katika kundi la Nchi za kipato Cha Kati.

Aidha, Mnamo Desemba 9, 2023 Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan alizindua Rasmi zoezi la ushirikishaji wadau na ukusanyaji wa maoni ya Wananchi kuhusu Dira Mpya 2050 ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imefanya Kikao Cha kukusanya Maoni hayo kutoka kwa wadau na Wananchi Leo Julai 22, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa