• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Viongozi wa Wilaya washiriki mradi wa ujenzi wa darasa Kata ya Lukokoda

Posted on: March 7th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano 

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akiwa pamoja  na KU,Mkurugenzi Mtendaji Halmasahauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Mussa Gama na  na Wakuu wa Idara  na Vitengo wameshiriki kujaza kifusi mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya sekondari Lukokoda

Mradi huo umeibuliwa na wananchi wa  Kata ya Lukokoda ambapo shughuli ya ujazaji wa kifusi umefanyika Machi 7,2023 kwa kushirikiana na wananchi ambao wamejitokeza kwa wingi ikiwa ni kuamsha ari kuelekea siku ya wanawake Machi 8,2023

Akizungumza mara baada ya kukamilisha shughuli ya kujaza Kifusi Dc Sawala amewapongeza wananchi kwa kuibua mradi huo ambao utawanufaisha wanafunzi wa kata hiyo lakini kushiriki katika miradi ya maendeleo

“Nawapongeza kwa kuibua mradi huu lakini pia kwa ushiriki wenu katika miradi ya maendeleo,tumekuja kushiriki na wananchi wa kata ya lukokoda ili kuunga juhudi mnazozifanya,lakini pia tunaelekea siku ya wanawake  ikaamshe ari kwenu kushiriki katika maadhimisho haya,”amesema Dc Sawala

Aidha amewasistiza wananchi kupinga ukatili wa jinsia ambao unafanyika  katika jamii kwa kutoa taarifa katika  vyombo husika ili viweze kuchukua hatua stahiki kwa muhusika ili kutokomeza vitendo hivyo

Naye Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndg.Gama kuunga juhudi za wananchi katika mradi huo Halmasahauri imekabidhi saruji mifuko 20 ili iweze kusaidia katika mradi huo

“Halmashauri kwa kutambua mchango wenu wa kuibua mradi huu tunakabidhi mifuko hii ili ikaongeze nguvu katika mradi huu uweze kukamilike kwa wakati wanafunzi wetu waweze kutumia madarasa haya,”amesema Mkurugenzi

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa