• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

VIONGOZI NA WANACHI WA MTWARA WASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA KM 160

Posted on: June 21st, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Viongozi na Wananchi wa Mkoa wa Mtwara wameshuhudia utiaji  saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Mnivata hadi Masasi Km160 itakayojengwa  kwa kiwango cha lami ambapo kiasi cha Shilingi Bilioni 234.5 zitatumika kutekeleza mradi huo ambao utakamilika Mwaka 2025

Hafla  ya utiaji saini wa Mkataba huo umefanyika  Juni 21,2023 katika uwanja wa Sabasaba Halmashauri ya Mji Newala ambapo mgeni rasmi  alikuwa ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa

Ujenzi wa barabara hiyo utatekelezwa na Makampuni mawili ambapo Km 100 zitajengwa na Kampuni ya China Wi Yi ambayo itaanzia Mnivata hadi Mitesa kwa thamani ya shilingi Bilioni 141.9 na Km 60 zitajengwa na Kampuni ya China Communication Construction ambayo itaanzia Mitesa hadi Masasi Mjini kwa thamani ya shilingi Bilioni 92.5

Aidha Ujenzi wa Barabara ya Mnivata,Nanyamba, Tandahimba, Newala na Masasi  kwa kiwango cha lami itafungua fursa ya kiuchumi kwa wananchi wa  Mtwara  ambao wameipongeza Serikali kwa kutatua kero yao ya barabara hiyo

Kwa upande wao wabunge wa Mkoa wa Mtwara ambao  walihudhuria hafla hiyo wameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwakumbuka watu wa Mtwara

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa