• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

VIJIJI 17 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI MKWITI IFIKAPO NOVEMBA 30, 2023.

Posted on: October 3rd, 2023

Na.Kitengo cha Mawasiliano. 


Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) Wilaya ya Tandahimba Mhandisi. Antidius Muchunguzi amesema Serikali ilitoa Fedha kiasi Cha Tsh.Bilioni 6.5 kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Maji katika Kata Nne za Wilaya hiyo Mradi ambao utakamilika na Kuanza kutumika Mwezi Novemba, 2023.

Mhandisi  Muchunguzi ameyasema hayo leo Oktoba 3,2023 wakati akisoma taarifa ya Maendeleo ya Ujenzi wa Mradi wa Maji Mkwiti na kuongeza kuwa Mradi huo ukikamilika unatarajia kuwahudumia wakazi wapatao  26,164 wa kata Nne za Mangombya, Ngunja, Litehu na Luagala .

"Jumla ya  Vioski 45 vimejengwa katika vijiji 17 kwa ajili ya kuchotea maji na kuunganisha huduma ya maji katika taasisisi, Zahanati na Vituo vya Afya katika vijiji vyote 17 ambapo ongezeko hili litafanya watu wanaopata huduma ya maji Tandahimba kuongezeka kutoka asilimia 50 ya sasa hadi kufikia asilimia 60.2," amesema Mhandisi Muchunguzi

Aidha, Wajumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya wameishukuru  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe Rais Dokta Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) kwa kuufanya Mradi wa Maji Mkwiti kuwa miongoni mwa miradi inayoenda kuondoa kero ya maji kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa