• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Upepo waleta madhara Shule ya Msingi Amani

Posted on: September 14th, 2022

Na Kitengo Cha Mawasiliano

Upepo Mkali  umeezua paa la vyumba viwili vya madarasa  na ofisi moja ya walimu  na kusababisha  wanafunzi kumi na tatu (13) waliokuwepo  ndani ya darasa  kupata majeraha katika shule ya Msingi Amani iliyopo Kata ya Tandahimba Halmashauri ya Wilaya yaTandahimba

Tukio hilo limetokea leo Septemba 14,2022 saa 8.15 mchana  ambapo  upepo baada ya kuezua sehemu ya paa hilo liliangukia ndani ya darasa la tatu ambapo walikuwemo wanafunzi wanaendelea na masomo na kuwajeruhi baadhi ya wanafunzi

Wanafunzi hao 13 wote walipelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tandahimba kwa ajili ya matibabu ambapo Dk.Fatuma Juma  ambaye alikuwa zamu amesema kuwa amewapokea wanafunzi  13.,wanafunzi 12 walipata majeraha madogo madogo na wengine ni mshtuko wametibiwa na wameruhusiwa kurudi nyumbani na mwanafunzi mmoja amelazwa kwa matibabu zaidi

“Nimewapokea wanafunzi 13 ambapo  wasichana idadi yao ninane (8) na wavulana watano(5) hawa kumina mbili baadhi walikuwa majeraha madogo madogo tumewatibu  lakini wengine ni mshtuko tunashukuru wote wanaendelea vizuri  tumewaruhusu warudi nyumbani,mmoja amelazwa kwa ajili matibabu zaidi,”amesema Dk.Fatuma

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala akiwa pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Robert  Mwanawima na Kamati ya Usalama Wilaya walifika shuleni hapo kuangalia hali halisi baadaye walifika hospitali kutoa pole kwa wanafunzi hao

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa