• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

“Ukifanyiwa Ukatili usinyamaze sema katika vyombo vinavyosimamia haki”Dc Sawala

Posted on: December 6th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano 

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amevitaka vyombo vyote vinavyosimamia haki ndani ya Wilaya ya Tandahimba kuwajibika kila mmoja kwa nafasi yake ili haki itendele kupinga vitendo vya kikatili visiendelee katika jamii

Amesema hayo Disemba 6,2022 katika Kongamano la maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili Kiwilaya ambalo limefanyiuka katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashgauri na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali

“Vitendo vya ukatili katika Wilaya yetu vipo,natoa rai usikae kimya ukifanyiwa vitendo vya ukatili vyomba vipo  vya kushughulikia haki,vyombo vya  kusimamia haki hakikisheni kila mtu kwa nafasi yake anatekeleza wajibu wake ili haki itendeke ,”amesema Dc Sawala

Aidha ameeleza kuwa  ndani ya familia  kila mmoja atambue wajibu na haki yake,uhuru  upo katika kufanya kazi kwa bidii kwakuwa wanawake wanaweza katika Nyanja mbalimbali

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Door  of Hope Tanzania Ndg.Clemence Mwombeki amesema rushwa ya ngoni moja  ya ukatili unaoondoa utu  hivyo jukumu la wadau ni kushirikiana na Serikali katika kuchukua hatua za kupinga ukatili

Kongamano lilihudhuriwa na  wadau mbalimbali wakiwemo wawakilishi kutoka Ubalozi wa Canada ,maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa kijinsia yalianza Novemba 25,2022 ambapo Kiwilaya imeadhimishwa kwa kutoa elimu katika makundi mbalimbali na kuhitimisha kwa kongamano lililowashirikisha wadau

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa