• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANECU Wakabidhi mifuko ya Saruji 750 na fedha Tsh.Mil 5 kwa shule za Msingi na Sekondari Tandahimba

Posted on: January 20th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala  amekabidhi  mifuko ya saruji 750 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Mil.11 na fedha taslimu Shilingi Milioni tano (5,000,000) ambayo imetolewa na Chama Kikuu cha Ushirika TANECU kwa baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari Halmashauri ya Tandahimba

Akizungumza katika  hafla ya kukabidhi vifaa na fedha  hizo katika ukumbi waMikutano wa Halmashauri ya Tandahimba Januari 20,2023 Dc Sawala amepongeza hatua hiyo ambayo inaleta maendeleo katika idara ya Elimu

Pichani Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata  ambao shule zao zimekabidhiwa saruji na fedha za vifaa

“Nawapongeza Tanecu kwa hatua hii ambayo mmefanya,ni wito wangu kwa walimu wa shule ambazo zinapokea vifaa na fedha hizi kuwa zitatumika kama zilivyokusudiwa,”amesema Dc Sawala

Kwaupande wa Mwenyekiti wa Tanecu Ndg.Karimu Chipola amesema kuwa bvifaa hivyo ni kurudisha kwa jamii kile ambacho wamekipata ambao ndiyo wadau wa Ushirika sambamba na kuunga mkono Jitihada za Mhe.Rais wa Awamu ya sita katika shughuli za Maendeleo

“Tumetoa vifaa hivi na fedha kwa shule 16 ambapo wengine wamepayta mifuko ya saruji na wengine wamepata fedha kwa ajili ya kununulia vifaa kama mashine ya kopi na kompyuta kama walivyoomba,lakini pia huu ni mwanzo tutaendelea kurudisha kile tunachokipata kwa jamii,”amesema Chipola

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Bi.Jane Mallongo ametoa shukrani kwa Tanecu na amewahakikishia kuwa vifaa na fedha hizo zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa katika idara  ya elimu

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bi.Jane Mallongo akisema jambo katika ghafla hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa