• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Tandahimba yazindua Kampeni ya Usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto

Posted on: June 22nd, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Washiriki 63 wa mafunzo ya kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya miaka  mitano wametakiwa kutekeleza kampeni hiyo kwa weledi na uadilifu ili kukamilisha zoezi hilo kwa wakati

Ameyasema hayo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ndg Aloyce Masau wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa wasajili 63 ambao watafanya kampeni hiyo katika maeneo yote ya Wilaya  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Tandahimba

“Kampeni hii  ni muhimu sana  wajibu wenu ni kufanya kazi hii kwa uadiilifu ili tuweze kufikia lengo  la kuwasajili watoto  ambao hawana vyeti vya kuzaliwa katika maeneo yetu kwa wakati  ambao umepangwa ,”amesema ndg Masau

Aidha amesema kuwa matarajio ya Halmashauri  ya Tandahimba ni kuweza kutatua changamoto zilizojitokeza katika kipindi cha awamu ya kwanza ili kuweza kufikia lengo la asilimia 100 katika awamu hii ya pili ya kampeni

Naye mwezeshaji kutoka wakala wa usajili,ufilisi na udhamini (RITA)makao makuu  Fakihi Msuya amesema zoezi hilo litafanyika kwa njia ya mfumo hivyo washiriki wahakakikishe wanaingiza taaraifa kwa usahihi

Mafunzo hayo ya siku moja yametolewa kwa watendajiwa wa kata na watoa huduma za afya ngazi za kata,  siku nne za zitatumika kuwasajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya miaka mitano  zoezi hilo linatekelezwa na serikali na  UNICEF

 Kampeni ya kuandikisha itaanza tarehe 22-26 June,2021 katika maeneo mbalimbali ya Wilaya,zoezi hili lilifanyika awamu ya kwanza Sept 2017 Halmashauri ya Tandahimba ilipata asilimia 97 kwenye usajili na utoaji w avyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya miaka mitano

 

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa