• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANDAHIMBA YAPONGEZWA UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI YAKUSANYA 97.7% KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI.

Posted on: February 2nd, 2024

Na Kitengo cha Mawasiliano 

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Tawala  Mkoa wa Mtwara Robert Misungwi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kwa ukusanyaji wa Mapato katika kipindi Cha Robo mbili ambapo Wilaya hiyo imekusanya Shilingi  Bilioni 5.43 sawa na 97.7% ya Makisio ya makusanyo ya Mapato ya ndani  ambayo ni Bilioni  5.56 kutoka katika vyanzo mbalimbali.

Misungwi ameyasema hayo katika Kikao Cha Baraza la Madiwani robo ya pili kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo na kuongeza kuwa pamoja na ukusanyaji huo waendelee kutumia mashine za kieletroniki (POS)  kukusanyia Mapato katika vyanzo mbalimbali kwa kuwa ndio Mfumo rasmi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri.

Akisoma taarifa ya utekelezaji ya kipindi Cha Mwezi Oktoba-Desemba 2023, Kwa niaba ya  Mkurugenzi Mtendaji, Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Charles Mihayo amesema jumla ya  Tsh. Bilioni 3.61 zimepokelewa kutoka Serikali kuu ikiwa ni sehemu ya Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo na wafadhili.

"Sehemu kubwa ya Fedha hizi ni kwa ajili ya Elimu Bure katika Shule za Halmashauri, fedha za TASAF pamoja na ununuzi wa Vifaa vya kufundishia Katika Shule za Msingi 22". Mihayo

Hata hivyo Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi katika kutekeleza Miradi ya Maendeleo Sekta mbalimbali ikiwemo Afya, Elimu, Maji, Miundombinu ya barabara ambapo kupitia kuimarisha Sekta hizo zimesaidia Wananchi kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa