• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

TANDAHIMBA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI.

Posted on: June 28th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Kanali Patrick Sawala ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Kwa kupata hati safi sambamba na kusimamia vyema Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya hiyo akiwasisitiza kuendelea na ikibidi kuongeza Kasi zaidi .


Kanali Sawala ameyasema hayo Katika Mkutano wa Baraza Maalumu la Madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali 2022/2023.


" Nawapongeza kwa kupata safi, maana yake Kuna watu wamefanya kazi kwa kufuata taratibu, kanuni na Miongozo lakini Hongereni Madiwani Kwa kusimamia tuendelee kushikilia hapo hapo ili tuendelee kupata hati safi"Kanali Sawala


Sambamba na hilo Kanali Sawala amesisitiza kuzuia hoja kabla hazijatokea.

" Tuwe wa kwanza kuzuia hoja, tusiwe mabingwa wa Kujibu hoja,na tunazuia hoja kwa kufuata kanuni, taratibu na Sheria zilizowekwa"


Awali akisoma taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Mwaka 2022/2023 Mwakilishi wa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Geofrey Mwambalaswa amesema Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba ilipatata hati safi .


Akitoa Salamu Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Michael Mntenjele amesema pamoja na kupata hati safi amewasisitiza Watumishi kuendelea kufanya kazi kwa weledi ili Wilaya hiyo iendelee kupata hati safi.

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa