• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Tandahimba DC yanufaika na mashine za kukusanyia mapato (POS) kutoka Ofisi ya Rais - Tamisemi

Posted on: January 28th, 2020

Pichani: Mkurugenzi Mtendaji (W) Tandahimba akiwa na maboksi ya POS zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Said Msomoka amekabidhi mashine 43 za kukusanyia mapato (Point of Sales) kwa ajili ya kuongeza mapato ndani ya Halmashauri

Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Tandahimba (Kulia) akikabidhi POS kwa Mweka Hazina (Kushoto)

Akikabidhi Mashine hizo   kwa Mweka hazina wa Halmashauri wilaya ya Tandahimba Ally Machela  leo ofisini kwake, alisema mashine hizo zimetolewa na Tamisemi kwa halmashauri kwa ajili ya kukusanyia mapato na zimeunganishwa moja kwa moja na Tamisemi.

“Nakukabidhi mashine hizi ambazo nami nimekabidhiwa na Tamisemi,hivyo naamini zitakwenda kufanya kazi vizuri katika maeneo yetu na mapato yetu yataongezeka kwakuwa zilizopo ukiongeza na hizi zitatusaidia kuongeza  mapato katika Halmashauri yetu na hizi zipo kisasa zaidi endapo hautaweka vifurushi kwa wakati inaweza kukuzuia kuendelea kutoa huduma,”alisema Msomoka

Naye Mweka hazina Machela baada ya makabidhiano hayo alisema anashukuru Tamisemi kwa kuwapatia  vifaa vya kukusanyia mapato hivyo anatarajia mapato hayo yatakwenda kuongezeka kutokana na mashine hizo ambazo hadi sasa zitakuwa zinafikia 96.

“Tunaishukuru Wizara ya Tamisemi kwa mashine hizi nasi tunakwenda kuzifanyia kazi  ili mapato yetu yaongezeke  ndani ya Halmashauri yetu,”alisema Machela

Mweka Hazina wilaya ya Tandahimba akitoa neno la shukrani kwa Tamisemi mbele ya Mkurugenzi wilaya ya Tandahimba

Pichani: Mkurugenzi Mtendaji, Saidi Msomoka akiiangalia kwa makini POS



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa