• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

"SUALA LA KUDHIBITI UTORO SHULENI IWE NI AGENDA YA KUDUMU" DC SAWALA

Posted on: August 16th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano 


Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala amewasisitiza viongozi na wataalamu  kutilia Mkazo na kutoa Elimu ya Umuhimu wa wanafunzi kwenda Shuleni na kuepuka Utoro huku akisistiza kesi za Utoro kushughulikiwa kwa uzito.

DC Sawala ameyasema hayo leo Agosti 16, 2023 kwenye Kikao Cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya(DCC) kilicofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ambapo Taarifa za Idara na vitengo za Halmashauri,RUWASA,TRA,NIDA,TANESCO,TANECU,TARURA,TFS na MAKONDE ziliwasilishwa na kujadiliwa na wajumbe

"Hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wazazi wa mwanafunzi mtoro  ili tujenge Jamii yenye Elimu Bora  lakini pia viongozi wa Dini mkiwa katika nyumba za ibada endeleeni kujenga uelewa kwa wananchi juu ya umuhimu wa Elimu ," amesema DC Sawala

Kwa upande wao wajumbe wameshauri kuwa Mfuko wa Elimu wa Wilaya  ugharamie utengenezaji wa madawati kwa shule zote za msingi  ambazo zina upungufu mkubwa wa madawati,upatikanaji wa chakula shuleni uwe ni lazima si hiari na Ofisi ya Mkurugenzi isimamie na kuimarisha vyanzo vya mapato ya ndani

Aidha Wataalamu walipokea ushauri uliotolewa na wajumbe katika kikao hicho na kuahidi kuchua hatua za utekelezaji kwa kuzingatia taratibu na sheria

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA ELIMU

    June 25, 2025
  • DED MWANZALIMA ATEMBELEA MIRADI YA ELIMU

    June 21, 2025
  • TANDAHIMBA YAPATA HATI SAFI MARA YA TANO MFULULIZO.

    June 17, 2025
  • WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA MKURUGENZI WA TANDAHIMBA NA MADIWANI KWA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO SIMIYU.

    June 11, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa