• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

SHILINGI BLIONI 84.7 YATEKELEZA MRADI WA MAJI MAKONDE.

Posted on: October 4th, 2023

Na.Kitengo cha Mawasiliano 


Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Tadahimba  wakiongozwa na  Mhe.Ismaili Mkadimba wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa utekelezaji wa mradi wa Maji Makonde wenye thamani ya zaidi yaTsh.Bilioni  84.7 ambao utaongeza upatikanaji wa  maji safi na salama kwa wananchi.

 Pongezi hizo wametoa Oktoba 4,2023 wakiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo ikiwa ni Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo walitembelea mradi huo wa Makonde unaoendelea kutekelezwa Wilaya  ya Tandahimba.

Akisoma taarifa ya Utekelezaji  wa  mradi huo kwa niaba ya Mkurugenzi  Mtendaji  wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Makonde  Mhandisi Paulusi Nyagali kwa Kamati ya Siasa amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa mradi wa Makonde utaongeza upatikanaji maji kutoka asilimia 63 iliyopo sasa hadi kufikia asilimia 90 ikiwa ni ongezeko la asilimia 27.

Aidha amesema kuwa mradi wa Makonde utanufaisha Halmashauri nne (4) ambazo ni Tandahimba,Newala Mji,Wilaya ya Newala na Nanyamba  zikiwa na wakazi zaidi ya  670,000 ambao umelenga kuongeza uzalishaji maji kwa mita za ujazo 26,000 kwa siku kwa kutumia chanzo cha Maji Mitema ili kukidhi uzalishaji  ambapo utakamilika Mwaka wa Fedha 2024/2025

Miradi  mingine iliyotembelewa  na Kamati ya Siasa siku ya pili ya ziara ni Mradi wa Shule ya Msingi Nandonde, Bweni la Wasichana Shule ya Sekondari Namikupa, ujenzi wa madarasa manne Shule ya Msingi Milidu,Zahanati ya Chikongo,Kituo cha Afya Maheha,Zahanati ya Mnazimmoja,mradi w maji Lipalwe,ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Mahuta,ujenzi wa Shule ya Sekondari Mndumbwe,Shule ya Msingi Mambamba ujenzi wa nyumba ya mwalimu Shule ya Msingi Machedi na Shule ya Msingi Mjimpya .

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • MWENGE WARIDHIA KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MIVANGA UTAKAONUFAISHA ZAIDI YA WANANCHI 2000.

    May 22, 2025
  • USAFI MWISHO WAWEZI

    May 31, 2025
  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa