• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Serikali yalipa madai ya wakulima wa korosho shilingi Bil 20

Posted on: July 19th, 2020

na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Serikali imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 20 kwa ajili ya kulipa madai ya wakulima wa Korosho kati ya shilingi Bilioni 23 ambayo ilikuwa inadaiwa kwa mwaka 2017/2018

Akikabidhi hundi ya shilingi Bilioni 9 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema  kuwa kiasi hicho ni deni lote ambalo walikuwa wananadai wakulima wa korosho Wilaya ya Tandahimba


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongea na wananchama wa amcoss na wananchi wa Wilaya ya Tandahimba

Ameyasema hayo wakati  akiongea na wanachama wa chama cha msingi Matogoro na wananchi wa Wilaya ya Tandahimba ,amesema makato kwa wakulima yalikuwa mengi  lakini baada ya Rais kupunguza makato sasa mwananchi ananufaika


Wananchi walijitokeza kumsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika viwanja vya ghala la Matogoro Amcoss

“Fedha hizi ni malipo ya madai  ya korosho kwa wakulima,lakini  malengo yetu tuwe tunaviwanda vya kutosha ili tubangue wenyewe tuzidi kupata  zaidi kwakuwa gharama ya korosho ikibanguliwa ni kubwa,”amesema Majaliwa

Aidha Waziri Majaliwa ametoa agizo kwa vyama vya msingi kutoa bei dila kwa zao la korosho katika maeneo husika  ili  iwe wastani wa  Taifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kushoto)akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa

“Zoezi hili la kufanya mahesabu ya wananchi  wanatumia kiasi gani kuandaa  shamba na wakiuza kiasi gani hawatapata hasara iandikeni kwa maandishi msimu wa mwaka huu tutaanza kuitumia,”amesema Waziri Majaliwa wakati akijibu swali la mwananchi

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa