• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara

Posted on: September 28th, 2022

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala   amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa biashara katika Wilaya ya Tandahimba

Amesema hayo Septemba 28/2022 wakati akifungua kikao cha baraza la wafanyabiashara Wilaya yaTandahimba katika Ukumbi wa mikutano wa Halimashauri

‘’Serikali inathamini wafanyabiashara na itaendelea kuboresha mazingira wezeshi kwa ajili ya wafanyabiashara lakini pia kupokea ushauri na maoni yenu kwa maendeleo ya Wilaya ya Tandahimba’’ amesema DC Sawala

Aidha amewapongeza wabanguaji wadogo wa korosho wa ndani ya Wilaya kwa kuendelea kuzingatia ubora na kuipa thamani zao la korosho ambapo ilitumia nafasi hiyo kukipongeza kiwanda cha unanguaji cha TDC kilichopo Kata ya Malopokelo kwa kotoa korosho bora na kupata tuzo

Naye Afisa Biashara Ndg Hamisi Natenda akisoma taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji ambayo imehamasisha wawekezaji kuja kuwekeza Tandahimba ambapo ekari 150 imetengwa katika Kata ya Malopokelo kwa ajili ya uwekezeji wa viwanda vikubwa vya kati na vidogo

Hata hivyo wafanyabiashara walitoa maoni mbalimbali ili kuleta maendeleo katika Wilaya hususani katika biashara ambapo pia walishauri elimu endelevu itolewe kwa wafanyabiashara ili kuwajengea uelewa

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa