• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

Serikali itaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi

Posted on: March 8th, 2023

Na Kitengo cha Mawasiliano

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema Serikali itaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi kwa kutambua na kuthamini mchango wao katika ukuaji wa Uchumi

Amesema katika fedha zinazotolewa na Halmashauri kwa makundi maalum ya Vijana, Wanawake na watu wenye Ulemavu ambapo mwaka wa fedha 2021/2022 na Disemba 2022/2023 Halmashauri za Mkoa wa Mtwara kutokana na fedha za mapato ya ndani zimekopesha kiasi cha shilingi  Bil 3.3 kwa vikundi 632 vikiwemo  vya wanawake

RC amesema katika fedha hizo  shilingi Bil 1.7 zimetokana na  makusanyo ya makundi husika,shilingi Bil 1.6 zimetokana na marejesho ,Shilingi Bil 1.6 zimekopeshwa kwa vikundi  356 vya wanawake na vijana,Shilingi Bil.1.3 vikundi 177 vya watu wenye ulemavu na shilingi  Mil 345 kwa vikundi 145

Aidha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri za Mkoa wa Mtwara zimeweka makadirio ya kukopesha  kiasi cha shilingi Bil.2.4 kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo ametoa wito kurejesha mikopo hiyo kwa wakati sambamba na wanawake  kuchangamkia fursa hiyo ili kujikwamua kiuchumi

Amesema hayo Machi 8,2023 katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yenye kauli mbiu “Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia chachu katika kuleta Usawa wa Kijinsia” ambapo Kimkoa yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Amani Halmasahauri ya Wilaya yaTandahimba na kutaka jamii kutathimini na kutafakari kwa pamoja  jinsi Mkoa ulivyopiga hatua

“Nachukua fursa hii kuhimiza wewe mjasiriamali kujenga hamasa binafsi ya kujifunza maarifa mapya yatakayokusaidia kuwa mbunifu katika biashara yako,nawapongeza wanawake wajasiriamali ambao mmejitokeza kuonesha bidhaa zenu ,taasisi zote na wananchi mlioshiriki katika siku hii ya wanawake ambayo imefana sana,”amesema RC

Kwa upande wa viongozi mbalimbali waliopata nafasi ya kuzungumza wamesistiza wanawake kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na kutoa taarifa za ukatili unaofanyika katika jamii ili vyombo husika  viweze kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika

Matangazo

  • TANGAZO LA WALIOFAULU USAILI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. January 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MKATABA January 08, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MKIMBIZA MWENGE KIWILAYA March 30, 2024
  • Soma

Habari mpya

  • DC MNTENJELE AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA MAAFISA UGANI TANDAHIMBA

    February 18, 2025
  • KU WILAYA YA TANDAHIMBA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025

    February 17, 2025
  • Vipaumbele Mahususi vya Bajeti ya 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI TANDAHIMBA LAPITISHA MAKISIO YA MPANGO NA BAJETI YA TSH .BIL.40.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    February 13, 2025
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa