• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
Tandahimba District Council
Tandahimba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Idara na Vitengo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Kumuona Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoko kwenye Mpango
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Zabuni
    • Kanuni na Taratifbu
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha habari
    • Habari Mpya
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya picha

RC Gaguti akagua zoezi la ugawaji wa pembejeo za ruzuku Tandahimba

Posted on: June 9th, 2022

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema pembejeo za ruzuku zitumike kama ilivyokusudiwa na serikali ili ziwafikie wakulima zisibaki kwenye maghala

Amesema hayo leo Juni 9,2022 wakati akizungumza na wananchi wa kata ya miuta akiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua zoezi la ugawaji  wa pembejeo za ruzuku ambapo alitembelea vituo viwili Miuta na Dinduma barabarani

“Wakulima hakikisheni mnaopata pembejeo ni wahusika ambao wapo katika orodha,jukumu hilo ni la wakulima wote wa eneo husika kwa kushirikiana na kamati yenu ya kijiji,anayegawa pembejeo si Rc ,Dc au Kamati ya pembejeo Wilaya sisi tunachofanya ni kusimamia pembejeo hizo ziwafikie wakulima kama ilivyokusudiwa na serikali ,”Amesema Rc

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe.Kanali Patrick Sawala(kati) akifafanua jambo kuhusu ugawaji wa zoezi la pembejeo za ruzuku

Aidha Rc ametumia nafasi hiyo kuwapa taarifa ya miradi mikubwa miwili  ya barabara na maji ambayo itaanza kutekelezwa na Serikali ya awamu ya sita na wananchi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba wakiwa ni miongoni mwa wanufaika wa miradi hiyo

“ Tuna kila sababu ya Kumshukuru Mhe.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miradi hii ambapo mradi wa ujenzi  barabara kwa  kiwango cha lami lakini pia mradi wa maji kupitia chanzo cha maji Mitema ambapo kiasi cha shilingi Bilioni 100 zitatumika kuboresha miundo mbinu hiyo ili wananchi waweze kupata maji,tunamshukuru sana Rais,”amesema Rc Gaguti

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Robert Mwanawima akisoma taarifa ya zoezi la ugawaji wa Pembejeo za ruzuku kwa RC(hayupo pichani)

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Ndugu Robort Mwanawima akisoma taarifa ya zoezi la ugawaji wa pembejeo amesema kuwa tayari vijiji 74 vimepata pembejeo bado vijiji 84 ambavyo vinaendelea kugawiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA USAFI May 24, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 16, 2022
  • BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA,MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2021 July 14, 2021
  • Soma

Habari mpya

  • Watoto 94 wenye mahitaji maalum wapimwa afya Siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika

    June 15, 2022
  • Dc Sawala akabidhi vifaa kwa ajili ya Watoto wenye mahitaji maalum

    June 14, 2022
  • CMT wafanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi ya afya na elimu

    June 10, 2022
  • RC Gaguti akagua zoezi la ugawaji wa pembejeo za ruzuku Tandahimba

    June 09, 2022
  • Soma

Video

MKUU WA WILAYA YA TANDAHIMBA PAMOJA NA MKURUGENZI WASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAHEHA
Video nyingin

Kurasa za karibu

  • Ijue Tandahimba.

Viungio vinavyousiana

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • President's Official Website
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya sehemu

Tandahimba District Council

Wasiliana Nasi

    TANDAHIMBA DC,MTWARA TANZANIA

    Anuani ya posta: P.O.BOX 03 TANDAHIMBA

    Simu: +25523 2410030

    Simu:

    Barua pepe: ded@tandahimbadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki ©2017 Tandahimba DC. Haki zote zimehifadhiwa